Kweli we2 dubu. Hata kusoma haujui. Neno la kwanza kwenye maelezo yangu nimesemaje
Haya kwa faida ya wasiomakini kama wewe!
mi ni mwanaume miaka 26, elimu degree commerce, sina ajia ila nina kazi... Info nyingine atapewa mwenye sifa nilizozitaja.
Miaka 23 mbona tangazo limekosea njia, elekea mitaa ya facebook. Na wale mliokuwa mkicheza nao mechi za mchangani wametokomea wapi? Pia kwa umri huo tembelea zaidi mitaa ya shule kama Fataki
Kweli we2 dubu. Hata kusoma haujui. Neno la kwanza kwenye maelezo yangu nimesemaje
Haya kwa faida ya wasiomakini kama wewe!
mi ni mwanaume miaka 26, elimu degree commerce, sina ajia ila nina kazi... Info nyingine atapewa mwenye sifa nilizozitaja.