Bongo Contents
Member
- Jan 17, 2024
- 47
- 71
Sijiusishi na Content creation, sijajua acc ya kipi ?account yako ya youtube ni ipi
Kijana,hutaki matako makubwa?
Hata hivyo,Hongera sana kwa kuwapunguzia vigezo
Mchumba + Msebule = Jumba.Sifa Zangu
Mm n wakiume
Mkristo
Nimejiajiri- (IT)
Sifa za Mchumba ×2
Awe wa Kike
Umri From 19-25
Dini Yeyote
Aishi Dar es Salaam
Vingine Tutaviongea
Njoo inbox Tuyajenge
Does it sound FunnyMchumba + Msebule = Jumba.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Umri wako? Isije kua kibabu kinataka kuvutwa na gari zima, ukatufujia wadogo zetu.Sifa Zangu
Mm n wakiume
Mkristo
Nimejiajiri- (IT)
Sifa za Mchumba ×2
Awe wa Kike
Umri From 19-25
Dini Yeyote
Aishi Dar es Salaam
Vingine Tutaviongea
Njoo inbox Tuyajenge
Hahahaha hata FB ni Mishangazi labda akajaribu Tiktok na Insta.19-25 mkuu wapo fb
Huku tupo mashangazi tuliopigwa na mishale mingi 😂😂😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Hahahaha duuh! Sikupingi19-25 mkuu wapo fb
Huku tupo mashangazi tuliopigwa na mishale mingi
Uongo😅,19-25 mkuu wapo fb
Huku tupo mashangazi tuliopigwa na kukoswakoswa mishale mingi 😂😂😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Utatapeliwa uanze kutuchosha na nyuzi za kulia lia hapa, afu upewe ban
We muache ajimix 😂😂😂Hahahaha hata FB ni Mishangazi labda akajaribu Tiktok na Insta.
Imeisha hiyo 😂😂😂Hahahaha duuh! Sikupingi
We mwenyewe unajua sema unachekea tumboni 😂😂😂😂Uongo😅,
Usiwafungue bahati warembo wenzako.
Sipendi uongo that's why nimesema ukweli.We mwenyewe unajua sema unachekea tumboni 😂😂😂😂