haha shauri yako kwa sababu hutaki kuamini kile ambacho akilini mwako hata kama ni ukweli.Hater at work
hahaha aya ngoja nikae kimyaMbona unatuandama sana?
Embu tuache siye na umri wetu
Yaan upo kama umetumwa utugasihahaha aya ngoja nikae kimya
kumbe unawapotosha ilhali ukweli unao hahaha sasa usishangae wakatembelea maneno yako kama msaafu.sasa kama wanaume wakuwa owa hawajajitokeza kwao unataka wafnyje ilhali unajua wazi kuwa nawao wana matamanio ""'!!?
hahaha tatizo Mungu hapendi tuwaache watu wake mpotee eti mnakula ujanaYaan upo kama umetumwa utugasi
Pua yako [emoji57][emoji57]
nadhani ume to a content bila yakuelewa nilichomaanisha ...kumbe unawapotosha ilhali ukweli unao hahaha sasa usishangae wakatembelea maneno yako kama msaafu.
Ahahahaaaaaahahaha tatizo Mungu hapendi tuwaache watu wake mpotee eti mnakula ujana
me natania tu braza hata sina nia mbaya na mawazo yenu msinichukulie kwa jicho la pili,nadhani ume to a content bila yakuelewa nilichomaanisha ...
usijali ..tuko hpa kushare Mawazo tume natania tu braza hata sina nia mbaya na mawazo yenu msinichukulie kwa jicho la pili,
Hahahaa! Mimi napata wapi uthubutu wa kumletea pozi mtoto mzuri kama wewe. Yani salamu yako tu mimi hoi.hahah nimewah mtongoza Ngariba1 !akaniletea pose sio za nchi hii!sema bado nampenda !ila haelewi !
mkuu ww mhenga?Haya maneno yanatia moyo jamn kwa sis wahenga
Ndio mkuumkuu ww mhenga?
wahenga wapo real sanaNdio mkuu
Ki vip?wahenga wapo real sana
Kichwani wanakuwa vzr zaidi tofaut na hawa wa kuanzia 25 hadi 22 ujana unakuwa mwng kichwani,,, na pia wahenga wengi hasa kuanzia 30 tyl wanakuwa wanajua maisha ni nn,,,hawana mambo meng,, mtazamo wangu huu toka kwa baadh ya wahenga nlokwsha waonaKi vip?
Ni kweli hujakoseaKichwani wanakuwa vzr zaidi tofaut na hawa wa kuanzia 25 hadi 22 ujana unakuwa mwng kichwani,,, na pia wahenga wengi hasa kuanzia 30 tyl wanakuwa wanajua maisha ni nn,,,hawana mambo meng,, mtazamo wangu huu toka kwa baadh ya wahenga nlokwsha waona
Hujanielewa kabisa...basi wewe hujui,,ni kawaida sana men kutokua na mwanamke !kuliko mwanamke kutokuwa na mwanaume !ni maamuzi tu!sio km nyny
Wewe umenielewa mwanaume kutoa tangazo na vigezo vyako humu ni ishara ya udhaifu mkubwa huwez kukosa mwananke kiasi chs kujinadi...maana yake hapo mnatafutana mlikosa mliowapenda unaangalia atakayetokea kwa mwanaume haiko sawa kabisa..kwa mwanamke namuelewa kabisa sababu yeye ndio hufatwa na sometime umri umeenda upweke umemzid anaweza kuomba kujinad siio dume zima...ni aibu kwa upande wangu na malez yangu..siwez kukosa mwanamke hata kama sina hela na. Nawapata ninaowataka inakuwaje wewe unaishiwa had uje huku..!..Mimi nilivyomuelewa anashangaa ni kitu gani kinamfanya mwanaume aje kuweka tangazo mtandaoni? Ameshindwa kutongoza au tatizo ni nini? Hata mimi nashangaa kwa kweli...mwanamke akitangaza sawa maana sisi tunasubiri kutongozwa na huwezi kuchagua utongozwe na nani. Huenda wale wote wanaokutongoza hujawapenda na wale unaotamani wangekutongoza hawana wazo hilo na kwa sababu ni ngumu kwa mwanamke kumfuata mwanaume amtongoze anaamua kuja kuweka tangazo ajaribu huenda atakutana na mtu anayemtaka.
Hali ni tofauti kwa wenzetu, wao wana uwezo wa kumfuata yeyote wanayemtaka wamtongoze ila tatizo linakuwa nini hadi waje huku? Ni kwamba wale wote wanaowaona hawajawavutia? Wanashindwa kuwatongoza wale wanaowataka?
Pia wahenga ni wepesi kubadilisha upepo hasa anapomuona mwenza wake bado anautoto,, na hapo ndo vijana wengi wanapofeli weng wao wanakuwa na mahusiano na wahenga ila hawawajui wenza wao wako na focus gani,, wanahisi wapo pale kwa ajl ya kutmiza haja zake tu ktu ambacho si kweli,, mawazo ya mhenga huwa ni mara mbili ya mawazo ya kijanaNi kweli hujakosea