mwanairinga Senior Member Joined Dec 21, 2015 Posts 179 Reaction score 12 Jun 28, 2016 #1 Habari wana jf, Mimi ni kijana wa kiume naishi dar nimeajiriwa na taasisi ndogo ya fedha dar,natafuta mchumba ambaye yupo serious mwenye vigezo vifutavyo 1.awe mkisto 2.awe mrefu wastani na mnene wa kati rangi mweusi 3.awe tayari kwenda kupima HIV
Habari wana jf, Mimi ni kijana wa kiume naishi dar nimeajiriwa na taasisi ndogo ya fedha dar,natafuta mchumba ambaye yupo serious mwenye vigezo vifutavyo 1.awe mkisto 2.awe mrefu wastani na mnene wa kati rangi mweusi 3.awe tayari kwenda kupima HIV
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Joined Sep 21, 2011 Posts 16,578 Reaction score 28,701 Jun 28, 2016 #2 Ngoja waje, utawapata wengi tu aiseee. Ukiwapata wale ambao hawako serious wasukumizie huku kwangu, maana hata mimi huwa siko serious pia.
Ngoja waje, utawapata wengi tu aiseee. Ukiwapata wale ambao hawako serious wasukumizie huku kwangu, maana hata mimi huwa siko serious pia.
G GEITA FARM JF-Expert Member Joined Dec 22, 2015 Posts 336 Reaction score 173 Jun 28, 2016 #3 Mku Weka Dau Nikuletee Toto La Kinyarwanda
The Icebreaker Platinum Member Joined Apr 24, 2014 Posts 34,149 Reaction score 102,867 Jun 28, 2016 #4 asigwa said: Ngoja waje, utawapata wengi tu aiseee. Ukiwapata wale ambao hawako serious wasukumizie huku kwangu, maana hata mimi huwa siko serious pia. Click to expand... Hahahaaaaa!! Dah! Umetisha Mkuu 😀😀
asigwa said: Ngoja waje, utawapata wengi tu aiseee. Ukiwapata wale ambao hawako serious wasukumizie huku kwangu, maana hata mimi huwa siko serious pia. Click to expand... Hahahaaaaa!! Dah! Umetisha Mkuu 😀😀
20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,255 Jun 28, 2016 #5 asigwa said: Ngoja waje, utawapata wengi tu aiseee. Ukiwapata wale ambao hawako serious wasukumizie huku kwangu, maana hata mimi huwa siko serious pia. Click to expand... Hahaha. Humu Jf raahaa thana.
asigwa said: Ngoja waje, utawapata wengi tu aiseee. Ukiwapata wale ambao hawako serious wasukumizie huku kwangu, maana hata mimi huwa siko serious pia. Click to expand... Hahaha. Humu Jf raahaa thana.
Illuminata Rodgers JF-Expert Member Joined Nov 25, 2015 Posts 2,845 Reaction score 2,030 Jun 28, 2016 #6 All the best
mwanairinga Senior Member Joined Dec 21, 2015 Posts 179 Reaction score 12 Jul 5, 2016 Thread starter #7 asigwa said: Ngoja waje, utawapata wengi tu aiseee. Ukiwapata wale ambao hawako serious wasukumizie huku kwangu, maana hata mimi huwa siko serious pia. Click to expand... Hakuna noma mkuu
asigwa said: Ngoja waje, utawapata wengi tu aiseee. Ukiwapata wale ambao hawako serious wasukumizie huku kwangu, maana hata mimi huwa siko serious pia. Click to expand... Hakuna noma mkuu
mwanairinga Senior Member Joined Dec 21, 2015 Posts 179 Reaction score 12 Jul 5, 2016 Thread starter #8 GEITA FARM said: Mku Weka Dau Nikuletee Toto La Kinyarwanda Click to expand... Wee fanya mpango dau lipo
GEITA FARM said: Mku Weka Dau Nikuletee Toto La Kinyarwanda Click to expand... Wee fanya mpango dau lipo
Ilankunda1234 JF-Expert Member Joined Dec 28, 2015 Posts 4,840 Reaction score 4,806 Jul 5, 2016 #9 Hili bango ungrliweka fb aseee
mwanairinga Senior Member Joined Dec 21, 2015 Posts 179 Reaction score 12 Jul 5, 2016 Thread starter #10 Ilankunda1234 said: Hili bango ungrliweka fb aseee Click to expand... Fb siyo kuzuri mkuu!!!!
mwanairinga Senior Member Joined Dec 21, 2015 Posts 179 Reaction score 12 Jul 5, 2016 Thread starter #11 CleverKING said: Hahahaaaaa!! Dah! Umetisha Mkuu 😀😀 Click to expand... Zaidi ya kutisha mkuu
The Icebreaker Platinum Member Joined Apr 24, 2014 Posts 34,149 Reaction score 102,867 Jul 5, 2016 #12 Mleta mada usitusahau kutualika tuje kula ubwabwa
The Icebreaker Platinum Member Joined Apr 24, 2014 Posts 34,149 Reaction score 102,867 Jul 5, 2016 #13 Mleta mada usitusahau kutualika tuje kula ubwabwa
The Icebreaker Platinum Member Joined Apr 24, 2014 Posts 34,149 Reaction score 102,867 Jul 5, 2016 #14 Mleta mada ukifanikisha mpango wako usitusahau kutualika tuje kula ubwabwa
Licking Wounds JF-Expert Member Joined Nov 28, 2014 Posts 4,510 Reaction score 6,099 Jul 5, 2016 #15 asigwa said: Ngoja waje, utawapata wengi tu aiseee. Ukiwapata wale ambao hawako serious wasukumizie huku kwangu, maana hata mimi huwa siko serious pia. Click to expand... hahahah asigwa bwana
asigwa said: Ngoja waje, utawapata wengi tu aiseee. Ukiwapata wale ambao hawako serious wasukumizie huku kwangu, maana hata mimi huwa siko serious pia. Click to expand... hahahah asigwa bwana
G GEITA FARM JF-Expert Member Joined Dec 22, 2015 Posts 336 Reaction score 173 Jul 5, 2016 #16 mwanairinga said: Wee fanya mpango dau lipo Click to expand... Enheee Hayo Ndio Maneno Sasa Utanipa Kiasi Gani Nikimleta
mwanairinga said: Wee fanya mpango dau lipo Click to expand... Enheee Hayo Ndio Maneno Sasa Utanipa Kiasi Gani Nikimleta