Milembe Ulimwengu
New Member
- Aug 30, 2014
- 4
- 1
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wazi.
Kwa jina naitwa Milembe Anthony-24 yrs. Pia ni mawanafunzi wa shahada ya kwanza katika elimu na utawala chuo kikuu cha mzumbe kampasi kuu Morogoro najitokeza mbele yenu ndugu jamaa na marafiki popote pale mlipo mnisaidie.
Natafta mchumba wa jinsi ya kike mwenye umri kati ya 18-21,awe anajua kuongea kiingereza hata kwa dakika mbili tatu,mrefu kiasi,mwembamba kiasi,mcha mungu isipokuwa muislamu,awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea,awe tayari kuish mkoa wowote hapa nchini,asiwe mtumiaji wa vipodozi,mwenye bidii na kujituma katika kazi,kwa
mawasiliano zaidi piga 0764189966
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wazi.
Kwa jina naitwa Milembe Anthony-24 yrs. Pia ni mawanafunzi wa shahada ya kwanza katika elimu na utawala chuo kikuu cha mzumbe kampasi kuu Morogoro najitokeza mbele yenu ndugu jamaa na marafiki popote pale mlipo mnisaidie.
Natafta mchumba wa jinsi ya kike mwenye umri kati ya 18-21,awe anajua kuongea kiingereza hata kwa dakika mbili tatu,mrefu kiasi,mwembamba kiasi,mcha mungu isipokuwa muislamu,awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea,awe tayari kuish mkoa wowote hapa nchini,asiwe mtumiaji wa vipodozi,mwenye bidii na kujituma katika kazi,kwa
mawasiliano zaidi piga 0764189966
yan mzumbe nzima umekosa mchumba? ata changarawe? uswazi ya juu na ya chini? ulijaribu mlali? au ata mgeta? aisee unaniangusha mkuu....
Unataka aongee kingereza kwan.hapo ubaloz wa marekani
Unataka aongee kingereza kwan.hapo ubaloz wa marekani
hahaha "asiwe anatumia vipodozi"
Hahahahahaha uwiii
It's as if umetoa nafasi za kazi, m/ke wa design hiyo hajawahi kuzaliwa...
manake kasema mchumba lazima ajue kingereza
Hahaaa...aongee kiingereza kwa angalau dakika ngapiii?????hahahahaaaaaa, wewe kiboooko