Natafuta mchumba wa kike msomi

Newtongift

Member
Joined
Feb 21, 2014
Posts
93
Reaction score
5
Nmechoka kukaa peke yangu natafuta mrembo mrefu wastani elimu chuo kikuu umri 18-26 mwenye upendo. Kama upo tayar npm
 
Wewe huko chuo umefika? Au kwakuwa ni mwanaume?
 
Hebu na wewe weka cv yako kwanza ili tukutambue na picha uitupie hapa
 
Huyo msichana unaemtaka wa kuanzia miaka 18 sidhan km unataka kumuoa, bado hajakomaa kiakili, ubahatike pengine
 
Nmechoka kukaa peke yangu natafuta mrembo mrefu wastani elimu chuo kikuu umri 18-26 mwenye upendo. Kama upo tayar npm

Miaka 18-26 atakua chuo huyu au ni muajiriwa kw upeo wako??????
 
miaka 18 tanzania hii anaweza kuwa na elimu ya chuo kikuu? Akibahatika atakuwa first year pengne
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…