Habari ya leo!
Niko Dar, nafanya kazi, niko single, sina familia, najitegemea, nina miaka 34.
Natafuta mchumba mwenye kujiheshimu, anayejua anataka nini maishani mwake, aliye kwenye umri kati ya 22-41, mwenye ajira, aliyejiajiri au mwanafunzi ila mwenye misimamo yake, haijalishi kama ana mtoto.
Nachukia mademu wapiga mizinga!
Ukiwa interested tafadhali nitumie message inbox...
Ahsante!