addie r u serious?? naomba usitafute mchumba mitandaoni utajuta nakwambia. Bora umuombe Mungu na utumike mbele zake
Usimtishe mwenzio, mchumba unaweza kukutana nae popote na mkaenda sawa tu. Muhimu ni malengo yenu na maamuzi yenu.
Bint usivunjike moyo, watu wengi wamekutana kwenye kwaya kanisani au kwenye vyuo vya madrassa na bado ndoa zao ni ngumu na zimeshindwa.
addie r u serious?? naomba usitafute mchumba mitandaoni utajuta nakwambia. Bora umuombe Mungu na utumike mbele zake
Mi nipo tayari ni pm namba zako za simu!
Usimtishe mwenzio, mchumba unaweza kukutana nae popote na mkaenda sawa tu. Muhimu ni malengo yenu na maamuzi yenu.
Bint usivunjike moyo, watu wengi wamekutana kwenye kwaya kanisani au kwenye vyuo vya madrassa na bado ndoa zao ni ngumu na zimeshindwa.
Usimtishe mwenzio, mchumba unaweza kukutana nae popote na mkaenda sawa tu. Muhimu ni malengo yenu na maamuzi yenu.
Bint usivunjike moyo, watu wengi wamekutana kwenye kwaya kanisani au kwenye vyuo vya madrassa na bado ndoa zao ni ngumu na zimeshindwa.