Natafuta Mchumba..(Mke)

Simba mweupe

Member
Joined
Aug 31, 2014
Posts
61
Reaction score
20
Mm ni kijana nina miaka 24...kwa sasa npo chuo kikuu maeneo ya dar... ila kutokana na wanawake kuwa na vijitabia ambavyo wanaviiga wakishafika huku chuo hivyo mm meamua kutafuta mchumba atakayekuwa nje ya chuo hiki.naamin mke hupatikana sehemu yeoyote.......
 
dogo hebu soma kwanza bhana we si ndo kilicho kupeleka huko chuo?
 
Mwacheni hajionee mwenyewe kama haelewi somo.mke atakusaidiya nn zaidi ya elimu?hujifunzi kwa kuona?
 

Kamchukue yule wa kombolela
 
Ni vyema kutafuta mke lakini nashauri hili la kuoa ungeliweka pembeni hadi umalize shule! usichanganye mambo yatakushinda!
 

wee dogo s0ma uwasaidie wazaz na wadogo zako, what mchumba for? Mbona unajisahaulisha maisha ya h0me ya kTZ? au kwenu ni pakiSHUA?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…