Masalu Jacob JF-Expert Member Joined Jul 26, 2017 Posts 1,436 Reaction score 1,627 Aug 17, 2017 #1 Kwa mtu yeyote mwenye uwezo wa kifedha na yupo teyari kuwekeza katika sekta ya afya naomba anipm tuzungumze zaidi. Asanteni na kazi njema.
Kwa mtu yeyote mwenye uwezo wa kifedha na yupo teyari kuwekeza katika sekta ya afya naomba anipm tuzungumze zaidi. Asanteni na kazi njema.
Daby JF-Expert Member Joined Oct 26, 2014 Posts 34,961 Reaction score 80,240 Aug 17, 2017 #2 Haujafafanua... biashara gani? upo wapi? mtaji kiasi gani? wewe ubia wako ni katika nin? Fafanua boss
Haujafafanua... biashara gani? upo wapi? mtaji kiasi gani? wewe ubia wako ni katika nin? Fafanua boss
Drjacka92 JF-Expert Member Joined Jul 20, 2016 Posts 445 Reaction score 523 Aug 17, 2017 #3 Wanakuja, ni suala la uvumilivu tuu kidoogo. G.Don-Master.
mmbangaya JF-Expert Member Joined Jan 16, 2015 Posts 997 Reaction score 1,766 Aug 17, 2017 #4 Fafanua biashara yako mkuu isije ikawa ni upatu
Mr Miller JF-Expert Member Joined Jan 24, 2017 Posts 11,449 Reaction score 25,831 Aug 17, 2017 #5 Sekta ya Afya pana mzee....nyoosha maelezo
mkojo wa bhange JF-Expert Member Joined Aug 2, 2017 Posts 560 Reaction score 639 Aug 20, 2017 #6 Itakuwa anataka kuanzisha kiwanda cha ARV huko mkoani manyara....ahaahahaa kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
Itakuwa anataka kuanzisha kiwanda cha ARV huko mkoani manyara....ahaahahaa kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu