Vumbi la congo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 666
- 982
Wakuu nahitaji mashine ya kupimia gar yenye uwez ya kupima mifumo mingi kama (abs).air bag)sio engine tu pekee...
bajeti yako kwanza kabla ya yote umejipangaje mkuu??.maana zipo za bei tofauti kutokana na ubora wake na niyakampuni gani??.Wakuu nahitaji mashine ya kupimia gar yenye uwez ya kupima mifumo mingi kama (abs).air bag)sio engine tu pekee...
laki tanobajeti yako kwanza kabla ya yote umejipangaje mkuu??.maana zipo za bei tofauti kutokana na ubora wake na niyakampuni gani??.
Utapata code reder.laki tano
Kwahiyo niongeze ngapi mkuu nipate nachokitakaUtapata code reder.
Nikupe Obd2 cabled inagoma v yote hvyoWakuu nahitaji mashine ya kupimia gar yenye uwez ya kupima mifumo mingi kama (abs).air bag)sio engine tu pekee...
Inaitwaje ni i googleNikupe Obd2 cabled inagoma v yote hvyo