Natafuta mafundi wa air condition

styl

Member
Joined
Feb 7, 2014
Posts
52
Reaction score
8
Hi guys! nahitaji vijana watatu wenye ujuzi wa kufanya service air condition.
Note: Naomba asiwe mtu wa kujifunza kazi, awe ameshawahi kufanya service walau A.C 50 kwenye historia ya ujuzi wake.

Malipo: 7000/= kwa A.C moja.

Mawasiliano: 0685654180
 
Hi guys! nahitaji vijana watatu wenye ujuzi wa kufanya service air condition.
Note: Naomba asiwe mtu wa kujifunza kazi, awe ameshawahi kufanya service walau A.C 50 kwenye historia ya ujuzi wake.

Malipo: 7000/= kwa A.C moja.

Mawasiliano: 0685654180
Eneo la kazi n mkoa gan Mkuu?
 
Hi guys! nahitaji vijana watatu wenye ujuzi wa kufanya service air condition.
Note: Naomba asiwe mtu wa kujifunza kazi, awe ameshawahi kufanya service walau A.C 50 kwenye historia ya ujuzi wake.

Malipo: 7000/= kwa A.C moja.

Mawasiliano: 0685654180

Ngoja Kwanza Vipele vya Joto vitutoke kwa wingi Miilini mwetu pamoja na kutubabua Ngozi ndipo tutakueleza alipo Fundi mzuri wa AC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…