NATAFUTA: Machine ya kutengeneza Popcorn

NATAFUTA: Machine ya kutengeneza Popcorn

Pazone

Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
18
Reaction score
13
Salama wakuu,

Nahitaji mashine ya kutengeneza popcorn,
iwe ya umeme kwa matumizi ya kutengeneza popcorn za biashara.
Nipo Tunduma yeyote mwenye kujua inakopatikana na bei zake tafadhali naomba anijuze na ikiwezekana ani-PM namba tuweze kuwasiliana.
Asanten

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una mtu Dar mtumie ziko tele, laki 3 na kuendelea.
 
Kwa Dar es salaam tunazo Ndugu karibu laki tatu na 70 tu tupigie 0762612213
FB_IMG_1551682350384.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom