Nani anayo anitumie Telegram au WhatsappWatu wanasema hiyo list inazidi mb 25 hivyo inashindwa kukubali kutumwa labda ikatwe vipande vipande tushaomba watu watume hadi tumechoka
Kwa kigezo gani?Wanasiasa walipewa msamaha wa Mkulu
Wanatakiwa kujua KKK tu. Sasa sijui waziri atapangaje maendeleo kwa kujua KKK tu.Kwa kigezo gani?
Mkoa ganiHabarini Jf
Kwa mwenye ile list ya wafanyakazi wa serikalini waliokwisha hakikiwa, tunaomba atuwekee hapa document.
Unataka mkoa ganiWatu wanasema hiyo list inazidi mb 25 hivyo inashindwa kukubali kutumwa labda ikatwe vipande vipande tushaomba watu watume hadi tumechoka
Naona kama wamegoma hivi, au members wengi ndio hao hewa
Mi ninayo ya Mara tu kama ulihakikiwa aka unafanya kazi Mara nicheki na wsap hasa SMS 0744126626Habarini Jf
Kwa mwenye ile list ya wafanyakazi wa serikalini waliokwisha hakikiwa, tunaomba atuwekee hapa document.
nipe namba nikuwekee whatsap ninayo ya taasisisi na mashirika.Habarini Jf
Kwa mwenye ile list ya wafanyakazi wa serikalini waliokwisha hakikiwa, tunaomba atuwekee hapa document.