Uko wapi?Natafuta laini kwa ajili ya uwakala,alie Nazo tuwasiliane.
Mmh!musoma mbali sana na nilipo(tanga)Nipo musoma
Ninazo zote hizo, M-pesa, Airtel money na Tigo zipo musoma. Nitafute plzNipo musoma
Kama wewe naweza kukutafuta sio mtu anakupa line ina jina lake imeshatumika vya kutosha mwisho kwenye malipo na mambo mengine ya muhimu tuanze kusumbuana halaf mambi ya nchi hii saivi bora ufanye vitu straight tuNipo Dar zote utapata na usajiri wa jina lako
Mpya kbs
0716648505
Mfano mtu anaweza kukuliza vipi mkuu? ?ukichukua c unabadili namba ya simuNenda ofisini,rahisi ni ghali sana,watu washalia sana mkuu
Ni kweli kbs usemayoKama wewe naweza kukutafuta sio mtu anakupa line ina jina lake imeshatumika vya kutosha mwisho kwenye malipo na mambo mengine ya muhimu tuanze kusumbuana halaf mambi ya nchi hii saivi bora ufanye vitu straight tu