Computer4Sale Natafuta Laptop

Computer4Sale Natafuta Laptop

crusader_jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2019
Posts
994
Reaction score
855
Habari wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa na familia zenu kwa pamoja iitikieni salamu😁
Nahitaji laptop(acer,hp,lenovo na asus) used na iwe kwenye condition nzuri iwe na sifa zifuatazo
1. Iwe na Intel I series(i5 kuendelea) na gen ya 4 kwende juu
2. ram gb4/8
3. HDD/SSD(500/258)
4. ikiwa slim kiasi itapendeza pamoja na graphics card nzuri.
Bajeti 500k
Nawasilisha.

NAPATIKANA KAWE DAR ES SALAAM
 
Na, maana yake aina zote hizo unazitaka? Au?
 
H p corei5, laki 4 , refurbished from USA, piga 0713039875
 
Habari wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa na familia zenu kwa pamoja iitikieni salamu
Nahitaji laptop(acer,hp,lenovo na asus) used na iwe kwenye condition nzuri iwe na sifa zifuatazo
1. Iwe na Intel I series(i5 kuendelea) na gen ya 4 kwende juu
2. ram gb4/8
3. HDD/SSD(500/258)
4. ikiwa slim kiasi itapendeza pamoja na graphics card nzuri.
Bajeti 500k
Nawasilisha.

NAPATIKANA KAWE DAR ES SALAAM
Habari Mkuu?
Ulipata laptop?
Kma bado nicheki 0755411455
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom