Habari magreat thinkers! Jamani wakuu ninatafuta laptop used kwa ajili ya matumiz madogo madogo 2, nina Tsh 300,000/= cash, so kwa anayeuza naomba anijuze, but isiwe mbovu mbovu, nipo serious jamani.
mie ninayo mpya , imetumika miezi kidogo tu, bado ina shine kinoma,ina run win 7, naiuza kwa vile ninazo mbili. ila chini ya laki nne siuzi. kama uko serious jivute kidogo
mie ninayo mpya , imetumika miezi kidogo tu, bado ina shine kinoma,ina run win 7, naiuza kwa vile ninazo mbili. ila chini ya laki nne siuzi. kama uko serious jivute kidogo
mie ninayo mpya , imetumika miezi kidogo tu, bado ina shine kinoma,ina run win 7, naiuza kwa vile ninazo mbili. ila chini ya laki nne siuzi. kama uko serious jivute kidogo