Natafuta kiwanja /shamba kigamboni au bagamoyo

Natafuta kiwanja /shamba kigamboni au bagamoyo

viking

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,286
Reaction score
1,420
Nitafyta kiwanja /shamba maeneo ya kigamboni au bagamoyo bajeti yangu ni tsh 5 million
 
kiwanja kinauzwa kipo kigambon mikwambe kipo
karibu kabisa na kwa mizengo pinda kiwanja kina
ukubwa wa miguu ishirini ya mtu mzima kwa
mapana na marefu kipo kwenye mtaa ni kiwanja
cha kawaida yani hakijapimwa.bei ya kawaida tu
wasiliana nami 0656 25 18 74
 
~Nina kiwanja mapinga nauza mil3.8 sqm 600 nina kiwanja bunju robo heka nauza mil 8.5
~nina kiwanja heka 1 lugwadu k/gmbon jirani na mjukuu wa sapi mkwawa nahtaji mil 10 mnaweza mkachanga na mwenzako mkagawana nusu heka.
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
 
~Nina kiwanja mapinga nauza mil3.8 sqm 600 nina kiwanja bunju robo heka nauza mil 8.5
~nina kiwanja heka 1 lugwadu k/gmbon jirani na mjukuu wa sapi mkwawa nahtaji mil 10 mnaweza mkachanga na mwenzako mkagawana nusu heka.
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================

niPM namba zako tuongee cha bunju
 
...tusije tukaonana wabaya bure..!

Yale mambo ya mimi sikujua...!

Nakuonjesha jinsi mji mpya wa Kigamboni utakavyokuwa ...

image_thumb21.png


image_thumb22.png


image_thumb23.png


image_thumb24.png


image_thumb25.png


image_thumb26.png


image_thumb27.png


image_thumb28.png


image_thumb29.png


Mambo yameiva kwa wakazi wa Kigamboni, hii ni sehemu ya majengo ya utakao kuwa mji mpya wa Kigamboni kwa mujibu wa Mtandao wa Wizara husika.

Eneo hili litahusu maeneo ya makazi yasasa ambayo yanakaliwa na watu. Kwa mujibu wa Tangazo la Serikali la Mwaka 2008 wakazi wa kata zipatazo tano watafidiwa kuhamishwa kupisha mradi huu.

Eneo litakalo chukuliwa ni la Kigamboni likichukua zaidi ya kata tano ambazo ni Kigamboni, Vijibweni, Somangila, Mji Mwema na Kibada. Eneo hili lina wakazi wapatao 82,808 ambao watafidiwa kulingana na sheria na taratibu zilizowekwa.


Mradi huu ukikamilika mwaka 2030 utakuwa ni mji wa kipekee si tu kwa Tanzania bali kwa Afrika pia.

Kwa hisani ya Wizara ya mama Anna
 
Habari yako mkuu, nina shmba bagamoyo ambalo lipo umbali wa mita 70 kutoka mto wa RUVU chini na watu pale mimi nikiwa mmoja wao tunafanya kilimo vipindi vyote iwe kiangaza au masika. Namiliki ekari 12 ila hekari 5 tu ndio nauza. Bei ni TZS 1.7 kwa hekari moja. Simu yangu ni 0655003510
Nitafyta kiwanja /shamba maeneo ya kigamboni au bagamoyo bajeti yangu ni tsh 5 million
 
Bunja tayari nina nyumba,napenda cha kigamboni tatizo ni bajeti ,sijui kama nitapata mtu wa kuchanga
 
~Nina kiwanja mapinga nauza mil3.8 sqm 600 nina kiwanja bunju robo heka nauza mil 8.5
~nina kiwanja heka 1 lugwadu k/gmbon jirani na mjukuu wa sapi mkwawa nahtaji mil 10 mnaweza mkachanga na mwenzako mkagawana nusu heka.
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
Bunju ipi? na cha mapinga kipo kijijini au nje
 
kiwanja kinauzwa kipo kigambon mikwambe kipo
karibu kabisa na kwa mizengo pinda kiwanja kina
ukubwa wa miguu ishirini ya mtu mzima kwa
mapana na marefu kipo kwenye mtaa ni kiwanja
cha kawaida yani hakijapimwa.bei ya kawaida tu
wasiliana nami 0656 25 18 74

Mimi nataka lakini hiyo miguu 20 iwe ya Hashim Thabit
 
Nitafyta kiwanja /shamba maeneo ya kigamboni au bagamoyo bajeti yangu ni tsh 5 million

*HABARI NJEMA*
VKP (Real Estate) Company (yenye usajili no. *299964*) iliopo mbezi beach tang bovu ina huduma zifuatazo;
kukopesha mashamba na viwanja kwa bei nafuu bila riba wala dhamana;
miradi ya ujenzi
Upimaji wa Ardhi.

Mashamba yako bagamoyo (fukayosi)
Kuna plots zipo kigamboni na bagamoyo pia *Ardhi yote imepimwa na ina hati*

*ULIPAJI*
mkopo miez 12 mwezi wa kwanza unalipa 25% then 10% kwa miezi 4, then iliobaki unalipa 5% kwa miez 7...
MASHAMBA yetu yanauzwa kwa sh mil 1.65 kwa eka 1
Eg. Shamba mil.1.65 mwez wa kwanza utalipa 25% Inayofuata- 10% kwa miezi 4, then utalipa 5% mpk mwez wa mwsho.
VIWANJA vimepimwa na kukatwa kwa square meter.
a) *Kigamboni*- makazi na biashara 1sqm =20,000
b) *Bagamoyo* - 5,000 kwa 1 sqm (viko mkabala na msata road )
C) *kerege*-15,000 kwa 1 sqm(viko mbele kdg ya bunju ukivuka mapinga
D) *Ujenzi* wa nyumba za aina zote na za kisasa kwa mkopo wa miezi 12(mwaka mmoja), gharama zetu ni nafuu sana........!
Utalipa 25% ya gharama zote na hyo 75% iliyobaki itagawanywa ktk miezi 11 iliyobaki kukamilisha mwaka mzima.


*EPUKA UNUNUZI WA VIWANJA/MASHAMBA KWA MADALALI*

*MAWASILIANO ZAIDI*
+255757783401
+255712183055
 
MKOPO WA VIWANJA NA VIFAA VYA UJENZI.
Sifa za mkopaji:
Mfanyakazi au mfanyabiashara .

Kwa mfanyakazi wa serikali anatakiwa awe na salary slip tu .( kipato chake kitaamua atakopa kiwanja cha kiasi gani)
*mfanyakazi wa sekta binafsi mwajiri wake anatakiwa amdhamini.
*mfanyabiashara: iwe imesajiriwa (tin & leseni) na awe na 20% kama kianzio.

* Muda wa kulipa:
Miaka 5 kwa mfanyakazi wa serikali.
* miezi 12 kwa sekta binafsi.

* bei ya Viwanja ni kuanzia mil 4.8 kwa kiwanja cha 400sqm

*ukubwa wa Viwanja; kuanzia 400sqm hadi 4200 sqm.
*VIWANJA vipo Maeneo yafuatayo:
KIGAMBONI: (Mwasonga,>Km 10 toka Dar zoo. Mwembe mdogo> km 2 toka DEGE VILLAGEna Amani Gonvu >Mita 200 toka Beach

*TUPO ILALA MACHINGA COMPLEX GHOROFA 4, wasiliana NASI 0762781778
 
Nitafyta kiwanja /shamba maeneo ya kigamboni au bagamoyo bajeti yangu ni tsh 5 million
kiwanja kinauzwa kipo kigambon Toangoma
Kwa Sako. kipo karibu kabisa na kwa Kelvin
Yondani na Mwinyi Kazimoto. kiwanja kina
ukubwa wa miguu ishirini ya mtu mzima kwa
mapana na marefu kipo kwenye mtaa ni kiwanja
cha kawaida yani hakijapimwa.bei ya kawaida tu
na unaweza lipia hadi awamu nne.
wasiliana nami :0713-039875
 
D) *Ujenzi* wa nyumba za aina zote na za kisasa kwa mkopo wa miezi 12(mwaka mmoja), gharama zetu ni nafuu sana........!
Utalipa 25% ya gharama zote na hyo 75% iliyobaki itagawanywa ktk miezi 11 iliyobaki kukamilisha mwaka mzima.
Ebu fafanua hapo sijakuelewa,hiyo nyumba mnajenga nyinyi au mnamkopesha mtu? Je kiwanja lazima kiwe chenu au hata mtu anaweza akajenga kwenye kiwanja chake na mkamkopesha? Mkopo wa nyumba mnatoa tsh ngapi?
 
kiwanja kinauzwa kipo kigambon Toangoma
Kwa Sako. kipo karibu kabisa na kwa Kelvin
Yondani na Mwinyi Kazimoto. kiwanja kina
ukubwa wa miguu ishirini ya mtu mzima kwa
mapana na marefu kipo kwenye mtaa ni kiwanja
cha kawaida yani hakijapimwa.bei ya kawaida tu
na unaweza lipia hadi awamu nne.
wasiliana nami :0713-039875
Miguu ya Hasheem Thabeet au Emolo maana wote ni watu wazima.
 
Ebu fafanua hapo sijakuelewa,hiyo nyumba mnajenga nyinyi au mnamkopesha mtu? Je kiwanja lazima kiwe chenu au hata mtu anaweza akajenga kwenye kiwanja chake na mkamkopesha? Mkopo wa nyumba mnatoa tsh ngapi?

Kampuni inatoa huduma ya ujenzi kwa mkopo yaani unakua Na kiwanja chako au Nyumba unayohitaji imaliziwe kujengwa unafika offcn unapewa maelekezo Na utalazimika kupewa fundi wakufanya makadirio ya gharama za ujenz huo kisha utajulishwa gharama zote Na ndipo utapewa mchanganio WA ulipaji.utalipa kwa awam hata miaka miwili au zaid kufatana na ukubwa wa garama husika.katika pesa ya ujenzi utatakiwa kuongeza Apo 14% ambayo ndio riba ya huduma ya ujenzi utakao jengewa.mwez wa kwanza ukishatanguliza malipo ya awali ndipo ujenzi utaanza.ujenz utakamilika ndani ya miez miwil au mitatu au zaid endapo kazi Ni kubwa.utakabidhiwa nyumba wakat unaendelea kumalizia malipo ya huduma hiyo
 
Kampuni inatoa huduma ya ujenzi kwa mkopo yaani unakua Na kiwanja chako au Nyumba unayohitaji imaliziwe kujengwa unafika offcn unapewa maelekezo Na utalazimika kupewa fundi wakufanya makadirio ya gharama za ujenz huo kisha utajulishwa gharama zote Na ndipo utapewa mchanganio WA ulipaji.utalipa kwa awam hata miaka miwili au zaid kufatana na ukubwa wa garama husika.katika pesa ya ujenzi utatakiwa kuongeza Apo 14% ambayo ndio riba ya huduma ya ujenzi utakao jengewa.mwez wa kwanza ukishatanguliza malipo ya awali ndipo ujenzi utaanza.ujenz utakamilika ndani ya miez miwil au mitatu au zaid endapo kazi Ni kubwa.utakabidhiwa nyumba wakat unaendelea kumalizia malipo ya huduma hiyo
Okay nimekuelewa Cutebrown.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom