Libya JF-Expert Member Joined Nov 11, 2016 Posts 799 Reaction score 2,058 Jul 18, 2024 #1 Habari za leo. Nimehamishiwa kikazi mwanza hivyo natafuta kiwanja budget 6-8milioni. Full document, location isiwe milimani na pawe panafikika
Habari za leo. Nimehamishiwa kikazi mwanza hivyo natafuta kiwanja budget 6-8milioni. Full document, location isiwe milimani na pawe panafikika
C Covax JF-Expert Member Joined Feb 15, 2021 Posts 13,673 Reaction score 41,101 Jul 18, 2024 #2 Libya said: Habari za leo. Nimehamishiwa kikazi mwanza hivyo natafuta kiwanja budget 6-8milioni. Full document, location isiwe milimani na pawe panafikika Click to expand... Kwahiyo bei neenda kisesa au nyamongoro, pembeni ya jiji kabisa
Libya said: Habari za leo. Nimehamishiwa kikazi mwanza hivyo natafuta kiwanja budget 6-8milioni. Full document, location isiwe milimani na pawe panafikika Click to expand... Kwahiyo bei neenda kisesa au nyamongoro, pembeni ya jiji kabisa
Pyaar JF-Expert Member Joined Feb 11, 2018 Posts 17,213 Reaction score 80,140 Jul 19, 2024 #3 Libya said: Habari za leo. Nimehamishiwa kikazi mwanza hivyo natafuta kiwanja budget 6-8milioni. Full document, location isiwe milimani na pawe panafikika Click to expand... Mkuu, ungeweka mawasiliano ili wenye navyo waweze kukutafuta.
Libya said: Habari za leo. Nimehamishiwa kikazi mwanza hivyo natafuta kiwanja budget 6-8milioni. Full document, location isiwe milimani na pawe panafikika Click to expand... Mkuu, ungeweka mawasiliano ili wenye navyo waweze kukutafuta.
C Camp 05 JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 3,012 Reaction score 2,904 Jul 19, 2024 #4 Libya said: Habari za leo. Nimehamishiwa kikazi mwanza hivyo natafuta kiwanja budget 6-8milioni. Full document, location isiwe milimani na pawe panafikika Click to expand... Buhongwa viwanja kibao
Libya said: Habari za leo. Nimehamishiwa kikazi mwanza hivyo natafuta kiwanja budget 6-8milioni. Full document, location isiwe milimani na pawe panafikika Click to expand... Buhongwa viwanja kibao
T The atlantic JF-Expert Member Joined Aug 1, 2023 Posts 557 Reaction score 951 Jul 19, 2024 #5 Camp 05 said: Buhongwa viwanja kibao Click to expand... Wapi buhongwa.
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 33,954 Reaction score 56,077 Jul 19, 2024 #6 Ngoja waje
Kanye2016 JF-Expert Member Joined Jun 4, 2016 Posts 3,019 Reaction score 3,201 Oct 9, 2024 #7 Madalali wa Mwanza wamelala sana. Hapo ingekuwa Dar madalali wangeshajaza uzi huu.