Natafuta kiwanja mbeya mjini

Natafuta kiwanja mbeya mjini

Joined
Nov 17, 2011
Posts
62
Reaction score
13
Habari za kazi wana jamvi. Ninatafuta kiwanja kilichopimwa mbeya mjini. Bajeti yangu ni shilingi milioni nne. (4M) Mwenye taarifa ani- PM tafadhali
 
Mtafute Josee Mbilinyi, mbunge wa hapo, utasaidika dadangu
 
Asante ndugu yangu Mokoyo... Najua angeweza kuwa msaada lakini pia nafikiri yeye kama mbunge anapaswa kuhusika zaidi na matatizo yanayogusa jamii kuliko mtu mmoja mmoja. (Najua mi ni shehemu ya jamii hiyo) but mh! ngoja tumwachie majukumu yanayogusa population iliyo kubwa ya wakazi wa mbeya
 
basi nenda Manispaa idara ya ardhi utapata sapoti ndugu
Asante ndugu yangu Mokoyo... Najua angeweza kuwa msaada lakini pia nafikiri yeye kama mbunge anapaswa kuhusika zaidi na matatizo yanayogusa jamii kuliko mtu mmoja mmoja. (Najua mi ni shehemu ya jamii hiyo) but mh! ngoja tumwachie majukumu yanayogusa population iliyo kubwa ya wakazi wa mbeya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom