Natafuta Kiwanja Maeneo ya Boko,Tegeta,Mbweni

Natafuta Kiwanja Maeneo ya Boko,Tegeta,Mbweni

Strategizt

Senior Member
Joined
Oct 16, 2009
Posts
179
Reaction score
34
Budget yangu ni 20million mwenye nacho anipigie no. 0715 29 27 31
Kiwe na hati
 
45million nikupe tegeta mivumoni. kuna matofali 2000 mashimo yote ya maji taka tayari
 
mimi nina kiwanja mbweni kiko sehemu nzuri kina hati ni Pm tuongee biashara
 
unataka cha sqm ngapi , mimi ninavyo vingi 2 nipigie tuongee 0657 145555
 
Mkuu kina ukubwa gani hicho kiwanja chako???maana napapenda salasala nataka nijue ukubwa kwanza kabla ya kufunga safari kuja kukiona.

Mimi ninacho lakini kipo salasala kinzudi karibu na shule ya rightway primary academy. Hakijapimwa lakini bei yake ni ml 14,500,000 lakini tunaweza kukipima tukiafikiana bei. Namba yangu ni 0755 55 14 59
 
Mkuu kina ukubwa gani hicho kiwanja chako???maana napapenda salasala nataka nijue ukubwa kwanza kabla ya kufunga safari kuja kukiona.

Kwa makadirio ni kama sqm 700 mpaka 800 hivi, ninasema makadirio kwasababu sijakipima, na nikishakipima bei itaongezeka kwa kuconsider gharama za vipimo mpaka kupata title deed pamoja na current market price ya viwanja vya salasala vilivyopimwa.
 
Mkuu kiwanja kama bado kipo nitakupigie kesho ili nije kukiona.
Mimi ninacho lakini kipo salasala kinzudi karibu na shule ya rightway primary academy. Hakijapimwa lakini bei yake ni ml 14,500,000 lakini tunaweza kukipima tukiafikiana bei. Namba yangu ni 0755 55 14 59
 
ngoja nitafute kwanza kazi nikanunue kule kwenye ule uanja wa mauaji ili niwe najionea matukio live
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom