Natafuta kiwanja kwa bei ya milioni 5

Natafuta kiwanja kwa bei ya milioni 5

rodgers123

Senior Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
180
Reaction score
152
Wandugu,


Kama kuna mtu anauza kiwanja chenye hati maeneo ya Salasala, Wazo, Makongo juu, Boko au Goba naomba ani PM tufanye biashara. Ningepende kiwanja kiwe kimepimwa. Bejeti yangu ni chini ya 8m.
 
Wandugu,


Kama kuna mtu anauza kiwanja chenye hati maeneo ya Salasala, Wazo, Makongo juu, Boko au Goba naomba ani PM tufanye biashara. Ningepende kiwanja kiwe kimepimwa. Bejeti yangu ni chini ya 8m.
Wewe acha utani hayo maeneo halafu kimepimwa?
Ya Mungu mengi lakini all the best.
 
NJOO NIKUPE HEKA 3.3 KWA MIL 7 MPAKAN MWA KIBAHA NA KISARAWE NI CENTER KABISA BARABARA INATOKA KONGOWE YA KIBAHA INAPTA HAPA KWENDA CHANIKA,KISARAWE NI TAMBARALE,MAJI,MCHANGA,MAWE KIBAO 0764726071
 
Mkuu huko Kibaha ni KM ngap kutoka road??pia ni shamba au n kiwanja??
 
kutoka morogoro road mpaka huko sina xperience bt n sawa na kutoka mbezi to ubungo... AISEE MI NIMESEMA KIWANJA SJASEMA SHAMBA HAPO KUNA MAKAZI YA KUTOSHA NA NIMEJENGA HAPO, mashamba nenda mlandz,bagamoyo,chalinze.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Hyo hela labda ufanye mtaji wa tgopesa lkn kwa bei hyo na maeneo yenyewe ni ngum sana hata cha mgogoro hupat kwa bei hyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom