Natafuta kiwanja Goba

Natafuta kiwanja Goba

Kim Jong Jr

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2014
Posts
11,558
Reaction score
21,508
Wakuu,

Nina Milion 4.5 tsh natafuta kiwanja eneo la Goba lenye ukubwa wa mita za mraba 400 yaani 20/20.

Kama unajua au una kiwanja njoo unifanyie biashara.
 
Wakuu nina Milion 4.5 tsh natafuta kiwanja eneo la goba lenye ukubwa wa mita za mraba 400 yaani 20/20.


Kama unajua au una kiwanja Njoo unifanyie biashara
Ngoja nami nifuatilie watakaokuja humu.
 
Wakuu,

Nina Milion 4.5 tsh natafuta kiwanja eneo la Goba lenye ukubwa wa mita za mraba 400 yaani 20/20.

Kama unajua au una kiwanja njoo unifanyie biashara.
Mkuu KWA GOBA sasa hivi huwezi kupata kiwanja KWA bei hiyo, vipo kuanzia M 6 maeneo ya madale
 
Wakuu,

Nina Milion 4.5 tsh natafuta kiwanja eneo la Goba lenye ukubwa wa mita za mraba 400 yaani 20/20.

Kama unajua au una kiwanja njoo unifanyie biashara.
Kama bado hujapata kiwanja mimi ninacho 21 kwa 20 mbezi Msakuzi. Bei ya mwisho kabisa 5M. Miundo mbinu mizuri sana na umeme uko hapohapo site. Piga 0754 773881 kwa maelezo zaidi
 
Kama bado hujapata kiwanja mimi ninacho 21 kwa 20 mbezi Msakuzi. Bei ya mwisho kabisa 5M. Miundo mbinu mizuri sana na umeme uko hapohapo site. Piga 0754 773881 kwa maelezo zaidi
Msakuzi ipi mkuu, kule kwa Asenga?
 
Wakuu,

Nina Milion 4.5 tsh natafuta kiwanja eneo la Goba lenye ukubwa wa mita za mraba 400 yaani 20/20.

Kama unajua au una kiwanja njoo unifanyie biashara.
kwa bei hii ni kumu kupata, labda kwa ndani ndani sana tena hiyo ni ndogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom