Natafuta kiwanja Dodoma na Mwanza

Natafuta kiwanja Dodoma na Mwanza

kitally

Member
Joined
Aug 18, 2016
Posts
80
Reaction score
24
Habar zenu wana JF, Natafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba vyumba 3,choo&bafu, jiko na dining na sitting pia kibaki na nafasi ya parking na garden. Kiwanja kiwe maeneo yoyote ya Dodoma au Mwanza
 
Ninacho Dodoma,kimepimwa kienyeji 35m×65m kwa 6M.
 
Kwa dodoma ni vizuri sana mtu akanunua kiwanja CDA au kwenye kampuni zinazoeleweka. Serikali haitaki kurudia makosa yaliofanywa kwenye miji mikubwa kama DSM. Dodoma kila kipande cha ardhi kitapimwa, kwa kufuata miundo mbinu na mipango iliopo,ukinunua kiwanja ambapo sio makazi, katika kukipima ukataka ukifanye makazi hilo HALIPO. Kuweni makini sana na Dodoma.
 
Mm pia nataka kiwanja huko Dom ila iwe m4 kushuka chini!! Kmt 1.….hadi 6 sio mbya!
 
Habar zenu wana JF, Natafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba vyumba 3,choo&bafu, jiko na dining na sitting pia kibaki na nafasi ya parking na garden. Kiwanja kiwe maeneo yoyote ya Dodoma au Mwanza
cheki message nimekupm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom