Mkuu Habari, offer yako bado ile ile 5m?
Maana ni kitambo sana toka thread za mwaka 2016 unatafuta kiwanja kwenye hayo maeneo.
My advice.
Kwa hayo maeneo na kwa ukubwa wa kiwanja unachohitaji (sqm 1000+) kwa budget si chini ya 30m+ (hapo ni unsurveyed plot, kama ni surveyed ni 40m+).
Ukitoa kimara ndio unaweza kupata kwa 15m. Kama offer yako bado inacheza Kwenye 5m jaribu kubadilisha location... Mfano kibamba, kibaha, Kigamboni etc.