Ninacho 1500 sqm kipo mbweni mpigi na kina hati yaani Title did 99 years bei ya mwenyew 40m ongeza ya Dalali 10%Kiwanja hicho kiwe na zaidi ya sqm 1,000 pia kiwe na Hati. Na kiwepo maeneo ya Tegeta,Boko,Bunju na Mbweni. 0716-949344
Hamnashida mkuu utaniambia tu. Simu Yangu 0715060183Ok mkuu naweza kuarrange kukiona?ingawa Mbweni mpiji sipafahamu vizuri.
Mkuu si ununue hivi vya milioni 5 au unahela kuchezeaKiwanja hicho kiwe na zaidi ya sqm 1,000 pia kiwe na Hati. Na kiwepo maeneo ya Tegeta,Boko,Bunju na Mbweni. 0716-949344
Mkuu si ununue hivi vya milioni 5 au unahela kuchezea
Kuna kiwanja kinyerezi kinauzwa 18mil kama utapenaViko wapi kiongozi?
Vimepimwa na hati ipo?Kuna kiwanja kinyerezi kinauzwa 18mil kama utapena
Kuna kiwanja kinyerezi kinauzwa 18mil kama utapena