Natafuta kiwanja cha kununua Dar

Natafuta kiwanja cha kununua Dar

rubwe

Senior Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
109
Reaction score
25
Wapendwa natafuta kiwanja cha kununua mkoa wa Dar es salaam wilaya ya kinondoni bei isizidi milioni tatu
 
Nunua kiwanja maeneo ya Kinyerezi-Kifuru, Dar es Salaam.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na ndugu Oswald Sh. Richard kwa simu namba :
00255784342632 au +255767342632
E-mail : cosiastore@yahoo.fr
Viwanja vipo eneo la Kinyerezi-Kifuru, umbali wa kilomita 1 toka barabara ya Kinyerezi-Mbezi. Hivi vipo viwanja 14. Vina ukubwa usio sawa.Vipo vya mita 22x25, 20x23, 27x23 na 20x20. Bei zake ni Tshs. 7 millioni kila kimoja. Eneo hili limefikiwa na mradi wa Serikali wa kuwekewa umeme, na wameshaweka nguzo ila bado kuweka nyaya na hatimaye kukamilisha mradi. Maji ya uhakikika kwa sasa ni kama umbali wa kilomita 2.
 
kama upo serious nipigie kwa namba hii 0755371297 na 0714753579 tufanye biashara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom