Ninacho kiwanja, jirani na shule ya Intel. Mita 150 kutoka katika barabara kuu ya East Africa (Ujenzi Wa barabara unaendelea kwa kiwango cha lami).
Ukubwa wa Kiwanja ni 30m*20m
Bei ni tsh 15m taslimu. Kiwanja hakina udalali. Ni mali yangu, Mimi..Mimi mwenyewe.
Kama upo tayari...karibu sana. Unaweza kuni-PM tukabadilishana contacts