Mkuu nenda Uchumi supermarket vipo ht vya alfu lela u lela..ingawa naona ni version mpya bt hadithi ni zilezile.Habari zenu wandugu,
natafuta kitabu cha [Hekaya za Abunuwasi] hata kwa kununua ....kikiwa softcopy (pdf) au hardcopy ni sawa tu...ni PM kama unacho tufanye business..
Uchumi hawana hekaya za abunuwasi...wanasema vinauzwa kenya/ yani nimeshindwa kuamini kitabu cha kiswahili...kikosekane Dar ...halafu kinauzwa kenya tu...Mkuu nenda Uchumi supermarket vipo ht vya alfu lela u lela..ingawa naona ni version mpya bt hadithi ni zilezile.
Nime ku pm mkuu ninavyo
Nime ku pm mkuu ninavyo
Uchumi hawana hekaya za abunuwasi...wanasema vinauzwa kenya/ yani nimeshindwa kuamini kitabu cha kiswahili...kikosekane Dar ...halafu kinauzwa kenya tu...
BONGOLALA kama unavyo basi weka biashara basi nashida sana na hicho kitabu tangu nikipoteze na miss hadith zake.Nime ku pm mkuu ninavyo
Nime ku pm mkuu ninavyo
Nime ku pm mkuu ninavyo
ni pm mkuu nakihitaji pia kama unavyo na vingine ni pm tuweke sawa.
Hapana mkuu usijichoshe.hivi vitabu vya abunuwasi na mfalme ju.ha vinatafutwa sana katika awamu hii ya 5 bado nafanya utafiti kujuwa sababu.
Tusaidie mkuu.Vipo vingi sana mtàani mkuu
Kama vipi mcheki Abunuasi mwenyewe anaweza akawa nachoUchumi hawana hekaya za abunuwasi...wanasema vinauzwa kenya/ yani nimeshindwa kuamini kitabu cha kiswahili...kikosekane Dar ...halafu kinauzwa kenya tu...