Natafuta kijana wa kutunza ng'ombe

Natafuta kijana wa kutunza ng'ombe

daktarii

Member
Joined
Sep 14, 2020
Posts
39
Reaction score
50
Natafuta kijana wa kiume anayejua kutunza ng'ombe. Awe anajua kukamua maziwa pia

Mahali: Bagamoyo

Mshahara: 60000 kwa mwezi + atapewa chumba cha kukaa + atapewa chakula

Kama unaitaji nchek pm kwa maongezi zaidi
 
Nilijua laki sita kumbe efu 60 kwa mwenzi khaaa hapo bado kusafisha zizi, kuchunga ng'ombe na kuwalinda harfu upo njee ya mji aisee.......

Mkuu tafuta ndgu yako ukuafnyie hyo kazi.
 
Nilijua laki sita kumbe efu 60 kwa mwenzi khaaa hapo bado kusafisha zizi, kuchunga ng'ombe na kuwalinda harfu upo njee ya mji aisee.......

Mkuu tafuta ndgu yako ukuafnyie hyo kazi.
. Hahahahahah hiki kicheko nlichocheka ni sawa na 60 cjui hiyo kazi
 
Nimpenda, tofauti na wale unatunza ng'ombe kwa mwaka makubaliano ni kupewa ng'ombe baada ya kumaliza mwaka, sasa wale hupewagwa tundama na siyo ng'ombe tena, na kuna wenye tabia ya kuwadhurumu watunzaji ng'ombe, yan akiona ametunza kwenye miez 10 hiv anamzushia kesi ili amfukuze kwa malipo hakuna au kidg.

Kwa ww hiyo 60,000 n nzur inaweza mpatia ng'ombe wawili akiitunza.

Am interested but makubaliano iwe miez 6 bc coz nina shida na mtaji tu mkuu🤔
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom