Natafuta kijana wa kuchunga ng'ombe

Natafuta kijana wa kuchunga ng'ombe

daktarii

Member
Joined
Sep 14, 2020
Posts
39
Reaction score
50
Natafuta kijana wa kiume anayejua kutunza ng'ombe. Awe anajua kukamua maziwa pia

Mahali: Bagamoyo

Mshahara: 70000 kwa mwezi + atapewa chumba cha kukaa + atapewa chakula.

Kama unaitaji nchek 0710660264
 
Natafuta kijana wa kiume anayejua kutunza ng'ombe. Awe anajua kukamua maziwa pia

Mahali: Bagamoyo

Mshahara: 70000 kwa mwezi + atapewa chumba cha kukaa + atapewa chakula

Kama unaitaji nchek 0710660264
Mbona hela ndogo sana mkuu?
 
Kuna watu toka Kigoma, Biharamulo pale Lusahunga hii kazi wanaiwezea sana ila ukimzingua malipo anakufanyia ukigoma
 
Mkuu jf wote ni vibosile hapa..huwezi mpata mkamua maziwa huku
 
Unatafuta mkamua maziwa ya Ng'ombe hapa JamiiForums, nadhani unatania.
hapa ndio mnashindwa kuelewa, kuna vijana kibao wapo vijijini ukienda huko wanakwambia mimi nipo tayari kufanya kazi yoyote.

lengo hapa sio aliyepo humu bali ni connection ndio inayoitajika na kuna madalali humu jf wanaiweza hiyo kazi.

wewe ukiona mada haikuhusu unaachana nayo ila ujue wapo inaowahusu.
 
hapa ndio mnashindwa kuelewa, kuna vijana kibao wapo vijijini ukienda huko wanakwambia mimi nipo tayari kufanya kazi yoyote.

lengo hapa sio aliyepo humu bali ni connection ndio inayoitajika na kuna madalali humu jf wanaiweza hiyo kazi.

wewe ukiona mada haikuhusu unaachana nayo ila ujue wapo inaowahusu.
Nipe kazi hiyo boss licha Sina uzoefu nayo ila Nina shida
 
hapa ndio mnashindwa kuelewa, kuna vijana kibao wapo vijijini ukienda huko wanakwambia mimi nipo tayari kufanya kazi yoyote.

lengo hapa sio aliyepo humu bali ni connection ndio inayoitajika na kuna madalali humu jf wanaiweza hiyo kazi.

wewe ukiona mada haikuhusu unaachana nayo ila ujue wapo inaowahusu.
Umeelezea vizuri Kaka , sio lazima uwe wewe ... Lakin kama Una MTU unamfaham anaitaji kaz ... Kazi ipo
 
Nichukue mie niwe nakuibia hayo maziwa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom