Toa hizo namba, humu kumejaa wajuvi, matapeli ya kila aina bila kusahau mibazazi,,,, ! Mtu akiona tangazo akiwa interested atakuja kwenye inbox yako, ukijiridhisha utampa namba! Kila la kheri binti ! Kama hujui kutoa hizo namba chini mwishoni mwa thread kuna sehemu ya kuedit bonyeza hapo