Natafuta kibarua chochote cha muda

Natafuta kibarua chochote cha muda

torobiz

Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
73
Reaction score
44
Habari zenu wadau wa jf
Natafuta kibarua chochote iwe kiwandani,dukani,supermarket nk, tusaidiane katika hilo nipo Dar ila kama inapatikana hata mkoani naenda tu...
Mawasiliano yangu ni yohanembele@gmail.com..NISAIDIE
 
Ushauri tu-ungeweka sifa zako, reference ikiwa unazo ingesaidia mzee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom