Pole mkuu ila panua wigo wako wa kutafuta riziki, chukua kozi ya udereva wa magari makubwa, pata driving licence +nenda AA upate international one(ingawa sio muhimu sana),tafuta passport, omba ndugu na marafiki wakuchangie few usd, elekea Poland
, madereva wa trunks huko ni hot
cake kwa sasa, pigana maana Zimbabweans na zambians nao wanaelekea huko,good luck