Natafuta kibarua cha aina yoyote niweze kujikimu na maisha wana forum nimeshindwa kuendelea na elimu yangu ya juu yaani degree nimeweza kusoma kwa miaka miwili tu kutokana na ukosefu wa ada nimeshindwa kujiendeleza hvyo naja mbele yenu nyinyi wandugu mnisaidie hata kujikimu na maisha kwa kunipatia kibarua chochote
