gosheni5
Member
- Sep 17, 2014
- 14
- 5
Habarini jamani kwanza kabisa naomba msinizodoe mimi ni msichana nina miaka 27 natafuta kazi Mwanza nimesoma business administration nime specialize kwenye procurement and supplies nina diploma natamani nipate kazi ili niweze kujiendeleza kielimu...Mungu awabariki sana