habari zenu,Mimi ni mdada mwenye umri wa miaka 26 nipo Dar Elimu yangu ni kidato cha sita natafuta kazi yeyote ya halali naomba msaada wenu waheshimiwa Mbarikiwe...
Sio asilimia 100% ukifika chuo utakua na uhakika wa maisha.Fanya mpango jiunge na chuo kikuu kama unazo qualification zote kwani umeacha padogo sana ili uwe na uhakika na maisha
Swadakta ebhana ungekua karibu ningekupa sijui zawadi gani TUACHE KUKALILI KUA BILA ELIMU NDO KUFELI MAISHASio asilimia 100% ukifika chuo utakua na uhakika wa maisha.