Natafuta kazi

Natafuta kazi

keen girl

Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
16
Reaction score
0
Maisha magumu jamani, natafuta kazi ya kuuza duka, usafi wa maofini na nyingnezo isipokuwa za baa na lodge, elimu yangu ni form four.
 
Wanakuja uxhofu na uk pm ndo itakuwa habal ya mujn
 
maisha magumu jmn, natafuta kazi ya kuuza duka, usafi wa maofini na nyingnezo isipokuwa za baa na lodge, elimu yangu ni form four.

Anzisha huduma ya mpesa au kuuza chakula
hapa jukwaani...kuna wateja kibao utawapata.
 
maisha magumu jmn, natafuta kazi ya kuuza duka, usafi wa maofini na nyingnezo isipokuwa za baa na lodge, elimu yangu ni form four.


Kha! kazi za lodge na Bar ndio nzuri zina malupulupu mengi. Umeolewa au uko single?
 
.....mmmmmmh kuna kijiharufu japo sijui ni cha nini....kila la "kherini"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom