Totoz
Member
- Jan 27, 2013
- 99
- 18
Habari ndugu zangu mimi ni kijana wa kitanzania. nipo hapa mbele yenu kuomba msaada wakunisaidia ajira nimesomea uwandishi wa habari na nikafanikiwa kujitolea katika ofisi mbalimbali. nimejikuta anajitolea kwa muda mrufu bila mafanikio zaidi nikusifiwa utendaji wangu wa kazi. nikaona bora notudi shule na nikasomea kitu kingine ambacho no public realation and markerting. naomba msaada wenu ndugu zangu kunisaidia ajira itakayo weza kunifikisha katika kutimiza ndoto zangu. kwa wanaojua kazi za public relatio nadhani mnajua iko upana gani. kwenye uwezo wa kutaka kunisaidia tafadhali ni MP namba yako au maelezo. asante. Tanzania ya leo ni yetu sote tushirikiake katika kuijenge ili kesho itumike kwa kizazi chetu