Natafuta kazi?

Natafuta kazi?

Majhura fikiri

Senior Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
121
Reaction score
13
Kwa jina naitwa majhura musimu ni mkazi wa kigoma nina umri wa miaka 20 imebahatika kumliza kidato cha nne nikapata four sina kazi mjini af maisha ya home magumu nisaidieni wadau?
 
Kwa jina naitwa majhura musimu ni mkazi wa kigoma nina umri wa miaka 20!!! Nmebahatka kumlza kidato cha nne nikapata four cna kazi mjini af maixha ya home magumu nisaidieni bac wadau?

Kijanaa unanishangaza,, mmu ulikuwa unatafuta msichana,, sasa unatafuta kazi... Nisikuvunje moyo ngoja waje wanaotafuta watu wa kuwaajili,,, ila ushauri wangu.. Ww ni bado kijana mdogo kwann usirudie mtihani ujipange upya... Umri wako unaruhusu ehe...
 
naitwa jafar mzee nina miak 24 nw...nipo dar nimemaliza udsm nwak 2015. bachelor of edn in commerce...so natafuta ajira
 
Chonde chonde usije ukajihusisha na ujambazi!
 
kwanza huna uhakika kama unatafuta kazi mana heading yako inakiulizo "natafuta kazi?". pili form4 na div four manake darasa la saba ilo, cha kufanya apo jishugulishe na kazi yoyote ya kukupatia kipato kama kubeba mizigo au kulima n.k. ukileta usharobalo unataka kazi ya ofic bila elim utaishia jela tu. navyojua ajira za walio na elim ya chini kama yako ni nyingi kuliko ajira za waliosoma kama diploma,degree na kuendelea. kaza mtoto wa kiume.
 
Kwa jina naitwa majhura musimu ni mkazi wa kigoma nina umri wa miaka 20!!! Nmebahatka kumlza kidato cha nne nikapata four cna kazi mjini af maixha ya home magumu nisaidieni bac wadau?
baba kaz ngum hasa km hauna ujuzi wowote.
 
Kama unaona kulima ni ujinga..basi endelea kutafuta kazi ya hadhi yako ya form four..

Kwa Hii Hadhi Yake Kubwa Anafaa Kuwa Mkurugenzi Wa Shirika Kubwa La Umma Au Benki Kubwa Kubwa. Tena Hana Haja Ya Kutafuta, Akae Tu Nyumbani Watamfuata Kumuomba
 
Kijanaa unanishangaza,, mmu ulikuwa unatafuta msichana,, sasa unatafuta kazi... Nisikuvunje moyo ngoja waje wanaotafuta watu wa kuwaajili,,, ila ushauri wangu.. Ww ni bado kijana mdogo kwann usirudie mtihani ujipange upya... Umri wako unaruhusu ehe...

maisha ya nyumbani sio mazuri hakuna wa kunisomesha kama atapatikana mtu wa kunisomesha narudi kusoma wala sina tatizo!!!
 
kwanza huna uhakika kama unatafuta kazi mana heading yako inakiulizo "natafuta kazi?". pili form4 na div four manake darasa la saba ilo, cha kufanya apo jishugulishe na kazi yoyote ya kukupatia kipato kama kubeba mizigo au kulima n.k. ukileta usharobalo unataka kazi ya ofic bila elim utaishia jela tu. navyojua ajira za walio na elim ya chini kama yako ni nyingi kuliko ajira za waliosoma kama diploma,degree na kuendelea. kaza mtoto wa kiume.

nimekuelewa mkuu
 
Uza smartphone upate mtaji japo wa machungwa maana ndo msimu Wake huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom