Mkuu nami nataka nilime ila mtaji wangu mdogo sasa ni kilimo gani kinaweza kuwa NA tija na nikapata fedha za kujikimu na nikafaidika ...
Nami nimehitimu diploma ya business hapa dar es salaam...
Naombeni msaada ktk hili kwani nataka nilime ,nina ardhi hapa dar es salaam-MKURANGA EKARI 10...
Kama kuna mtu anajua info kuhusiana na hil tuwasiliana kupitia 0655201577/athumanramadhan99@yahoo.com
nitafute kwenye 0758480748,nikupe mchongoNatafuta ajira wadau nmehitimu BSc .Agriculture general .SUA mwaka huu
ushajiuliza hao wanaolima toka mwanzo wako wapi mpaka sasa?Elimu n jela tuliojitengenezea wenyewe, Miaka yoooote uliojitolea kusoma inakua sawa na kazi bure,
kuna saut inaniambia "Kwanini huyu mtu asingelima tokea mwanzo? " miaka mingi imepotea bure