Natafuta kazi

Natafuta kazi

Pritty wa joseph

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
2,379
Reaction score
2,051
Gys, natafuta kaz nimesoma IT na nina experience ya sectretary na CCTV operator for two years.....alo na vacancy ani saidie
 
Wewe si ulisema unatumia papuchi kusaka kazi kwenye uzi flani humu? Haya sasa umetafunwa na kazi hujapata.
 
Wewe si ulisema unatumia papuchi kusaka kazi kwenye uzi flani humu? Haya sasa umetafunwa na kazi hujapata.

mkuu samahani......embu tupia link ya huo uzi.....sifanyagi hizo kitu na wala sipo related na hayo maswala
 
Wewe si ulisema unatumia papuchi kusaka kazi kwenye uzi flani humu? Haya sasa umetafunwa na kazi hujapata.

Hata mie nilionaga
Lakini customercare njoo PM nikupe habari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom