MAANAX
Member
- Dec 9, 2012
- 36
- 2
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20 nimemaliza kidato cha nne mwaka jana ila sikuweza kuchaguliwa kuendelea, ninajua kuongea kingereza vizuri pia nina uwezo mkubwa katika hesabu na pia niko na uwezo mkubwa katika computer. Natafuta kazi ya kuuza dukani liwe la jumla au rejareja.