Natafuta kazi

Natafuta kazi

Flycatcher

Member
Joined
Jan 10, 2013
Posts
7
Reaction score
0
Mimi nina umri wa miaka 30, nina leseni class C FLAT ninauwezo wa kuendesha kila aina ya gari. Pia nina PSV CERTIFICATE ya VETA. Kwa mwenye nafasi tujulishane
 
Jamani Wadau Kama Kuna Mtu Amejaaliwa Basi Amsaidie Kijana Hapa
Msimtupe Kama Mlivyonitupa!
 
Unaweza kuanza hata kwa bodaboda brother kuliko kukaa idle, hatimaye daladala, then baadae fuso, scania etc, kama utaamua kukaa tu ukijisifia kuwa una class C hutak boda au hiace kwa maisha ya sasa utateseka sana brother, all the best
 
Unaweza kuanza hata kwa bodaboda brother kuliko kukaa idle, hatimaye daladala, then baadae fuso, scania etc, kama utaamua kukaa tu ukijisifia kuwa una class C hutak boda au hiace kwa maisha ya sasa utateseka sana brother, all the best

mi sijifii kama nina class c no. Apa nilipo ninaendesha bein ben ya wachina, lakini tajiri hana mkataba wala mshahara yani ninaish kwa posho ambayo haizid elf kumi ndugu yangu
 
oooh pole sana brother, basi tuombe uzima but usiache kwanza huko kwa wachina mpaka uhakika wa kazi nyingine utakapopatikana, unajua bora uvumilie hako kaposho wadau ambao watafanikiwa kukusaidia basi wafanye hivyo.all the best
 
oooh pole sana brother, basi tuombe uzima but usiache kwanza huko kwa wachina mpaka uhakika wa kazi nyingine utakapopatikana, unajua bora uvumilie hako kaposho wadau ambao watafanikiwa kukusaidia basi wafanye hivyo.all the best

nashukuru sana have a nice day friend
 
Unaweza kuanza hata kwa
bodaboda brother kuliko kukaa idle, hatimaye daladala, then baadae fuso,
scania etc, kama utaamua kukaa tu ukijisifia kuwa una class C hutak
boda au hiace kwa maisha ya sasa utateseka sana brother, all the
best

stress creators, sio lazima aanzie huko bwana, anaweza fanikiwa malengo alo nayo hata bila kuanzia mlo longo huo, jipe moyo kaka na usijarbu kukata tamaa, zungukia mashirika mbalimbali acha cv yako, haijalishi wametangaza ajira au lah we peleka c.v, trust me utapata kazi
 
stress creators, sio lazima aanzie huko bwana, anaweza fanikiwa malengo alo nayo hata bila kuanzia mlo longo huo, jipe moyo kaka na usijarbu kukata tamaa, zungukia mashirika mbalimbali acha cv yako, haijalishi wametangaza ajira au lah we peleka c.v, trust me utapata kazi

wazo zuri ngoja nilifanyie kazi bro!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom