Mimi ni muhitimu katika chuo kikuu cha ar es salaam (udsm)mwaka 2010,nimesoma bsc.edn(MATH&Information system)natafuta kazi itakayonifaa kwa kozi hiyo napatikana kwa no.0782816630
kuna kazi ya kufundisha primary math kuanzia std 5hadi 7 na weekend full time 24/7 makazi unapata na chakula cha shule mashahara laki 200000 upo tayari? ni porini umeme hamna jenereta lipo kuanzi saa kumi na mbili na nusu jioni mpaka saa 4 kamili usiku.
kuna kazi ya kufundisha primary math kuanzia std 5hadi 7 na weekend full time 24/7 makazi unapata na chakula cha shule mashahara laki 200000 upo tayari? ni porini umeme hamna jenereta lipo kuanzi saa kumi na mbili na nusu jioni mpaka saa 4 kamili usiku.
kuna kazi ya kufundisha primary math kuanzia std 5hadi 7 na weekend full time 24/7 makazi unapata na chakula cha shule mashahara laki 200000 upo tayari? ni porini umeme hamna jenereta lipo kuanzi saa kumi na mbili na nusu jioni mpaka saa 4 kamili usiku.