Natafuta Kazi.

Natafuta Kazi.

Joined
Oct 5, 2018
Posts
7
Reaction score
0
Habari wana JF, Namtafutia kazi rafiki yangu wa karibu ni mdada, kazi za stationary boutique na zenye kufanana na hizo na ana experience nazo pia kwa miaka mitatu.Kwa yeyote mwenye access nazo naomba msaada Tafadhari. Anaishi Dar.
 
Muulize ana idea yoyote ya biashara?? Hebu lete mawasiliano yako
 
Muulize ana idea yoyote ya biashara?? Hebu lete mawasiliano yako

idea ya biashara anayo na alishawahi kujiajiri kwa kutengeneza juice na kuuza kwenye migahawa ila alipata changamoto sehem anapouzia kwa kusababishiwa hasara ya mtaji wote aliokuwa nao. kwa hiyo amekwama ndio mana anatafuta kazi ili afanye kwa malengo akipata aendeleze biashara yake hiyo iliyokufa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom