mwanajamii00
Member
- Sep 30, 2018
- 6
- 11
Habari Zenu Wana Jamii Forum.
Jinsia Yangu ni KE, Umri 23, Naishi Dar es salaam. Elimu Yangu Ni Chuo kwa ngazi ya cheti katika nyanja ya ugavi na usafirishaji. Kulingana na sababu zilizopo nje ya uwezo wangu nimeshindwa kuendelea na chuo kwasasa, ivo natafuta Kazi kujitengenezea kipato cha kujikimu.
Nimefanya kazi katika kampuni mbili tofauti kwa wakati tofauti ivo nina ujuzi mzuri wa kutumia computer kwa upande wa Microsoft Word na Excel. Pia naweza vyema kukaimu nafasi ya afisa mauzo, muhudumu wa ofisi na huduma kwa wateja katika kampuni husika.
Ninaweza kuongea na kuandika kwa lugha ya kiswahili na kingereza vizuri.
Ninaweza kufanya kazi ofisini, hotelini, kwenye supermarkets, na sehemu zingine zozote kulingana na elimu na uelewa wangu. Pia ni mwepesi sana kujifunza iwapo kitu ni kigeni kulingana na mazingira.
Unaweza kunitumia PM.
Natanguliza shukurani.
Asanteni.
Jinsia Yangu ni KE, Umri 23, Naishi Dar es salaam. Elimu Yangu Ni Chuo kwa ngazi ya cheti katika nyanja ya ugavi na usafirishaji. Kulingana na sababu zilizopo nje ya uwezo wangu nimeshindwa kuendelea na chuo kwasasa, ivo natafuta Kazi kujitengenezea kipato cha kujikimu.
Nimefanya kazi katika kampuni mbili tofauti kwa wakati tofauti ivo nina ujuzi mzuri wa kutumia computer kwa upande wa Microsoft Word na Excel. Pia naweza vyema kukaimu nafasi ya afisa mauzo, muhudumu wa ofisi na huduma kwa wateja katika kampuni husika.
Ninaweza kuongea na kuandika kwa lugha ya kiswahili na kingereza vizuri.
Ninaweza kufanya kazi ofisini, hotelini, kwenye supermarkets, na sehemu zingine zozote kulingana na elimu na uelewa wangu. Pia ni mwepesi sana kujifunza iwapo kitu ni kigeni kulingana na mazingira.
Unaweza kunitumia PM.
Natanguliza shukurani.
Asanteni.
