Rais wa wakulima
Member
- Sep 27, 2015
- 78
- 19
Natumaini wazima Wa afya njema wanabodi, kama kichwa cha habari kinavyojielezea hapo juu Mimi ni kijana wa kiume natafuta kazi, Elimu yangu ni ngazi ya cheti cha biashara na utawala ( Certificate of business and administration) pia Nina uzoefu wa kazi mbalimbali kama kuuza kwenye vituo vya mafuta, dukani, m- pesa pia ni muelimishaji wa jamii kuhusu maswala ya vicoba kama kuna taasisi inayoitaji mtu wa kutoa Huduma hii basi nipo tayari kwa mwanye msaada naomba uni pm.