nenda kapeleke application letter (barua ya kuomba kazi) katika shule tofauti zilizopo mji unaoishi. Maana sidhani kama kuna headmasters wanaingia humu JF kusajili walimu.
Kama hukubahatika kupata, basi jaribu kuomba ajira za serikalini.
kama pia hukubahatika kupata, basi anzisha hata ka tuisheni kako uwe unawafundisha.
kama pia unaona haitalipa au itakua ngumu kwako, basi jaribu kuangaza fursa nyingine nje ya ualimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.