Natafuta Kazi

Natafuta Kazi

explore

Member
Joined
Dec 14, 2016
Posts
48
Reaction score
25
Habar wakuu wa JF
Mim ni msichana wa miaka 24 naishi DSM Nina fani ya ukutubi ( librarian) ngazi ya cheti.
1. Ninauzoefu na fani niliyosomea kwa miaka miwili.
2. Ninauzoefu na kazi za stationary and secretarial services pia ninauzoefu Wa kufanya utafiti kwa mwaka mmoja.
3. Ninauzoefu na kazi ya E-Money, CRDB na NMB wakala pia . Hizo ni baadhi ya kazi ambazo nina uzoefu nazo.


Kwa mawasiliano ni PM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafasi za librarian zimetangazwa nyingi sana. Ingia website ya ajira ya serikali ktk ukurasa wao wa Facebook utaziona. Jaribu na huko pia.
 
Habar wakuu wa JF
Mim ni msichana wa miaka 24 naishi DSM Nina fani ya ukutubi ( librarian) ngazi ya cheti.
1. Ninauzoefu na fani niliyosomea kwa miaka miwili.
2. Ninauzoefu na kazi za stationary and secretarial services pia ninauzoefu Wa kufanya utafiti kwa mwaka mmoja.
3. Ninauzoefu na kazi ya E-Money, CRDB na NMB wakala pia . Hizo ni baadhi ya kazi ambazo nina uzoefu nazo.


Kwa mawasiliano ni PM

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunahitaji wafanyakazi wawili (wa kike) i wenye uzoefu na staionary.computer na pia kufundisha au kuelekeza wanafunzi kutumia computer.Pia awe na uwezao wa kusimamaiaw wengine ofisini wasiliana nasi -0717157640
 
Back
Top Bottom